Katibu Mkuu amkabidhi Hati za kazi Mwakilishi wa Heshima wa Mauritius hapa nchini
PUBLISHED ON: 00:20:00
BY: Ukurasa wetu
IN:
|
Katibu
Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Bw. John M.
Haule kwa niaba ya Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa,
mhe. Bernard K. Membe (Mb.) akimkabidhi Bw. Syed Nazre Abbas Rizvi Hati
zinazomwezesha kufanya kazi kama Mwakilishi wa Heshima wa Mauritius
nchini Tanzania. Makabidhiano hayo yalifanyika Ofisini kwa Katibu Mkuu
tarehe 12 Machi, 2014. |
|
Bw.
Syed Nazre Abbas Rizvi akisaini Kitabu cha Wageni mara baada ya kupokea
kibali cha kuwa Mwakilishi wa Heshima wa Mauritius hapa nchini |
|
Katibu Mkuu, Bw. Haule akizungumza na Bw. Syed Nazre Abbas Rizvi. |
|
Katibu
Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa Bw. John
Haule akiagana na Bw. Syed Nazre Abbas Rizvi mara baada ya kumaliza
mazungumzo yao.
Picha na Reginald Philip
|
About the Author
Ukurasa wetu
Author & Editor
Has laoreet percipitur ad. Vide interesset in mei, no his legimus verterem. Et nostrum imperdiet appellantur usu, mnesarchum referrentur id vim.
Chapisha Maoni