Mjumbe wa Bunge Maalum la Katiba Stephen Wasira akiwa na Mjumbe mwenziwe wakielekea katika ukumbi wa Bunge kwa Ajili ya Upigaji kura ya nafasi ya Mwenyekiti leo Mjini Dodoma. |
Mjumbe wa Bunge Maalum la Katiba Augustino Mrema akiwa na mjumbe wa bunge Sadifa Sadifa, wakielekea katika ukumbi wa Bunge kwa Ajili ya Upigaji kura ya nafasi Mwenyekiti leo, Mjini Dodoma. |
Mjumbe wa Bunge Maalum la Katiba Bw. Edward Lowasa akiweka karatasi ya Kura yake ya Kumchagua Mwenyekiti wa Bunge Maalum la Katiba leo Mjini Dodoma. |
Baadhi ya Wajumbe wa Bunge Maalum la Katiba wakipigakura kwa ajili ya nafasi ya Mwenyekiti wa Bunge hilo, iliyokuwa ikiwaniwa na Bw. Samuel Sitta na Bw. Hashim Rungwe leo, Mjini Dodoma. |
Chapisha Maoni