Balozi wa Tanzania Jumuiya ya Ulaya, Dr. Diodorus Buberwa Kamala (kulia) akizungumza na Balozi wa Sudan Jumuiya ya Ulaya Mhe. Fidail Eltigani. Balozi Eltigani alifika ofisi za Ubalozi wa Tanzania Jumuiya ya Ulaya – Brussels kumweleza Mhe. Balozi Kamala kuhusu uamuzi wa Mabalozi wa ACP kanda ya mashariki wa kumteua kuingia kwenye Troika ya Mabalozi wa Afrika, Karibiani na Pacific. Balozi Kamala atakaa kwenye Troika kwa kipindi cha miezi kumi na nane (18) na kuanzia Januari 2014 atakuwa mwenyekiti wa Kamati ya Mabalozi wa Afrika, Karibiani na Pacific – Brussels.
Jumatano, 6 Novemba 2013
Balozi Kamala ateuliwa kuwa Mjumbe wa Troika ya Mabalozi wa Afrika, Karibiani na Pacific (ACP)
PUBLISHED ON: 00:06:00
BY: Ukurasa wetu
IN:
About the Author
Ukurasa wetu
Author & Editor
Has laoreet percipitur ad. Vide interesset in mei, no his legimus verterem. Et nostrum imperdiet appellantur usu, mnesarchum referrentur id vim.
Jisajili kwenye:
Chapisha Maoni (Atom)
Chapisha Maoni