Alhamisi, 10 Aprili 2014

Waziri Membe akutana na wafanyakazi wa Ubalozi Tanzania nchini Marekani

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa Mhe. Bernard Membe (Mb) akiongoza mazungumzo ya Raia Pacha alipokuwa akiongea na Rais wa Jumuiya ya Watanzania DMV Bw. Idd Sandaly na katibu wake Amosi Cherehani ( Hawapo pichani) wakiwemo baadhi ya Maafisa Ubalozi na wanaDMV kwenye Ubalozi wa Tanzania Nchini Marekani siku ya Jumanne April,2014 alipo karibishwa chakula cha jioni Ubalozini hapo huku Naibu Spika Mhe. Job Ndungai akiongezea mawili matatu 

Waziri Membe akiongelea swala la Uraia Pacha kulia ni Naibu Spika Job Ndungai akifuatilia mazungumzo hayo

Kushoto ni Rais wa Jumuiya ya Watanzania DMV Rais Idd Sandaly na Mhe. Balozi Liberata Mulamula wakifuatilia mazungumzo

Kikao kikiendelea

About the Author

Ukurasa wetu

Author & Editor

Has laoreet percipitur ad. Vide interesset in mei, no his legimus verterem. Et nostrum imperdiet appellantur usu, mnesarchum referrentur id vim.

Chapisha Maoni

 
Ukurasa wetu © 2015 - Mark Mugan| Designed and Developed by Mark Mugan | call +255 673 111 069