Jumamosi, 4 Machi 2017

Naibu Waziri wa Mambo ya Nje akutana kwa mazungumzo na Balozi wa Palestina nchini

Naibu Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Dkt.Susan Kolimba amekutana na kufanya mazungumzo na Balozi wa Palestina hapa nchini Mhe.Hazem Shabat. Mazungumzo yao yalijikita katika kuimarisha mahusiano baina ya Tanzania na Palestina katika sekta mbalimbali.
Sehemu ya Watumishi wa Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki wakifuatilia mazungumzo kati ya Dkt. Kolimba na Balozi wa Palestina (hawapo pichani).Kutoka kushoto ni Bw. Hangi Mgaka, Bw. Charles Faini na  Bi. KisaDoris Mwaseba.
Mazungumzo yakiendelea.

About the Author

Ukurasa wetu

Author & Editor

Has laoreet percipitur ad. Vide interesset in mei, no his legimus verterem. Et nostrum imperdiet appellantur usu, mnesarchum referrentur id vim.

Chapisha Maoni

 
Ukurasa wetu © 2015 - Mark Mugan| Designed and Developed by Mark Mugan | call +255 673 111 069